Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,482
- 40,001
Kwa muda wa miaka minne ya utawala wake Rais Kikwete amepata nafasi ya kuonesha mwelekeo wake juu ya matumizi wa fedha za umma. Je tunaweza kuuelezea utawala wake kuwa ni msimamizi mzuri wa fedha hizo, ni mfujaji, au ni mkarimu asiye na kikomo? Au ndiyo tusubiri hadi atoke madarakani na kuanza kumhoji na kumzonga kama Mkapa?