Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Taarifa inayosambazwa hivi sasa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya rais inasema kuwa rais atalihutubia taifa kesho chini ya utaratibu wake wa kuzungumza na wananchi kila mwisho wa mwezi. Rais atalihutubia taifa kupitia redio na televisheni.
taarifa inasema kuwa katika hotuba yake hiyo, rais atazungumzia masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya kijamii na kiuchumi kama yalivyojitokeza katika kipindi hiki kilichopita ndani ya nje ya nchi.
Unaweza kuanza ku-speculate atazungumza nini lakini ni vema kusubiri hadi hiyo kesho tumsikie mwenyewe.
Nawasilisha
taarifa inasema kuwa katika hotuba yake hiyo, rais atazungumzia masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya kijamii na kiuchumi kama yalivyojitokeza katika kipindi hiki kilichopita ndani ya nje ya nchi.
Unaweza kuanza ku-speculate atazungumza nini lakini ni vema kusubiri hadi hiyo kesho tumsikie mwenyewe.
Nawasilisha