Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Katika mdahalo wa jana JK aliulizwa swali moja zuri sana: kwamba ktk kipindi chake hiki cha miaka mitano kilichopita, anataka Watanzania wamkumbuke (legacy) kwa kitu gani?
Muungwana alitulia kama sekunde 40 hivi bila kujibu, maana anajua fika kwamba hana cha kukumbukwa. Kamera ya mtandao mmoja ikafanya ka-uchokozi kidogo, ilielekea kwa Kinana ambaye macho yalikuwa chini. Kimya kilivyokuwa sindano kama ingeanguka sakafuni ingesikika.
Baadaye akajikakamua (literally, that is) kusema kwamba anataka Watz wamkumbuke kwamba aliwatoa hapa na kuwafikisha hapa – huku akionyesha ishara kwa mikono kuonyesha sehemu moja kwenda nyingine!
Duh! Jamaa hana la kukumbukwa – na anajua hivyo – sijui anataka urais wa nini tena – was matrip ya nje na kula maisha?
Lakini jibu lake lina tafsiri moja tu – ametutoa kwenye hali nzuri kwenda kwenye hali mbaya. Kutoka kilo ya sukari Sh 500/ kwenda Sh 2,000/-. Kutoka bati sh 5,000/- hadi 16,000/-, kutoka cement 6,000/- hadi sasa 13,000/-, petrol sh 800/- hadi sasa 1,700/-, ulaji wa majani badala ya nyama
etc etc etc etc etc.
Kweli muungwana katuhamisha!!!!!
Muungwana alitulia kama sekunde 40 hivi bila kujibu, maana anajua fika kwamba hana cha kukumbukwa. Kamera ya mtandao mmoja ikafanya ka-uchokozi kidogo, ilielekea kwa Kinana ambaye macho yalikuwa chini. Kimya kilivyokuwa sindano kama ingeanguka sakafuni ingesikika.
Baadaye akajikakamua (literally, that is) kusema kwamba anataka Watz wamkumbuke kwamba aliwatoa hapa na kuwafikisha hapa – huku akionyesha ishara kwa mikono kuonyesha sehemu moja kwenda nyingine!
Duh! Jamaa hana la kukumbukwa – na anajua hivyo – sijui anataka urais wa nini tena – was matrip ya nje na kula maisha?
Lakini jibu lake lina tafsiri moja tu – ametutoa kwenye hali nzuri kwenda kwenye hali mbaya. Kutoka kilo ya sukari Sh 500/ kwenda Sh 2,000/-. Kutoka bati sh 5,000/- hadi 16,000/-, kutoka cement 6,000/- hadi sasa 13,000/-, petrol sh 800/- hadi sasa 1,700/-, ulaji wa majani badala ya nyama
etc etc etc etc etc.
Kweli muungwana katuhamisha!!!!!