VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ikiwa jana Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 2973,mahabusu pia wameachiwa. Ni taarifa za uhakika. Kati ya mahabusu hao waliofaidika na msamaha huo,wapo wateja wangu wawili. Ifahamike kuwa wafungwa hutofautiana na mahabusu. Mahabusu ni wale wanaoendelea na kesi zao. Wamenipunguzia kazi...