bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Awali mwisho wa wadau wote kuwasilisha majina ilikuwa Jana Machi 16 ambapo majina yalitakiwa kuwa yamefika kwa Katibu mkuu Kiongozi.
Hata hivyo JK amesogeza mbele muda huo na kudai kuwa huenda kuna wengine wamechelewa njiani. Sasa mwisho wa kuwasilisha majina ya watu wanaoombwa kuteuliwa katika Tume ya Katiba ni Machi 23 mwaka huu. Rais anatarajia kuitangaza tume hiyo ya katiba mwezi Aprili mwaka huu.
Source: IKULU
WAZO BINAFSI: Hivi JF hatuoni umuhimu wa kuteua wawakilishi wetu japo wawili tumpelekee Rais jmajina kweli??
Hata hivyo JK amesogeza mbele muda huo na kudai kuwa huenda kuna wengine wamechelewa njiani. Sasa mwisho wa kuwasilisha majina ya watu wanaoombwa kuteuliwa katika Tume ya Katiba ni Machi 23 mwaka huu. Rais anatarajia kuitangaza tume hiyo ya katiba mwezi Aprili mwaka huu.
Source: IKULU
WAZO BINAFSI: Hivi JF hatuoni umuhimu wa kuteua wawakilishi wetu japo wawili tumpelekee Rais jmajina kweli??