Elections 2010 JK ampa pole Dr Slaa

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Julai 31, 2010, amemtumia salamu za pole Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mheshimiwa Wilbroad Slaa, kufuatia habari kuwa kiongozi huyo amevunjika mkono.

Aidha, Rais Kikwete amemtakia Mheshimiwa Slaa aweze kupona haraka na kupata nafuu ya kuendelea na shughuli zake za kila siku katika kutumikia umma wa Watanzania.

Katika salamu hizo, Mheshimiwa Rais amemwambia Mheshimiwa Slaa: “Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuumia kwako kwa kuvunjika mkono. Kwa dhati ya moyo wangu, nakutumia salamu nyingi za pole na kukuhakikishia kuwa niko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha maumivu.”

Ameongeza Mheshimiwa Rais: “Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe uwezo wa kupona haraka ili uweze kurejea katika shughuli zako za kutumikia umma wa Watanzania.”

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

31 Julai, 2009
 
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Julai 31, 2010, amemtumia salamu za pole Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mheshimiwa Wilbroad Slaa, kufuatia habari kuwa kiongozi huyo amevunjika mkono.

Aidha, Rais Kikwete amemtakia Mheshimiwa Slaa aweze kupona haraka na kupata nafuu ya kuendelea na shughuli zake za kila siku katika kutumikia umma wa Watanzania.

Katika salamu hizo, Mheshimiwa Rais amemwambia Mheshimiwa Slaa: "Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuumia kwako kwa kuvunjika mkono. Kwa dhati ya moyo wangu, nakutumia salamu nyingi za pole na kukuhakikishia kuwa niko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha maumivu."

Ameongeza Mheshimiwa Rais: "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe uwezo wa kupona haraka ili uweze kurejea katika shughuli zako za kutumikia umma wa Watanzania."

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

31 Julai, 2009

Namshukuru sana JK kwa kulitambua hili,ni uungwana na kukomaa kisiasa,ingawa kama rais wetu,ni kitu ambacho alitakiwa kufanya....Makamba angekua rais,angechuna tu.....teh teh
 
Classic,

Ingawa wengine tutasema kipapai kilitoka Bwagamoyo na hii inaweza kuwa ni kujikosha tu. (kidding, you know I don't put any stock in that stuff)
 
Bila kujalali whether he was sincerely or not, ni jambo zuri amelifanya Rais.
 
Kikwete huwa yupo sincere. Jamaa ni muungwana saana na submissive hata Dr Slaa anafaham.
 
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT'S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Julai 31, 2010, amemtumia salamu za pole Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mheshimiwa Wilbroad Slaa, kufuatia habari kuwa kiongozi huyo amevunjika mkono.

Aidha, Rais Kikwete amemtakia Mheshimiwa Slaa aweze kupona haraka na kupata nafuu ya kuendelea na shughuli zake za kila siku katika kutumikia umma wa Watanzania.

Katika salamu hizo, Mheshimiwa Rais amemwambia Mheshimiwa Slaa: "Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuumia kwako kwa kuvunjika mkono. Kwa dhati ya moyo wangu, nakutumia salamu nyingi za pole na kukuhakikishia kuwa niko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha maumivu."

Ameongeza Mheshimiwa Rais: "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe uwezo wa kupona haraka ili uweze kurejea katika shughuli zako za kutumikia umma wa Watanzania."

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

31 Julai, 2009

sasa hii ni barua ya copy and paste au ni templete linalotumika kuedit baadhi ya vitu tu, hiyo tarehe imeniacha hoi au ndio hivyo umakini wetu pale mjengoni ni zero?

anyway kama ni ya kweli basi kikwete kajitahidi kuwa muungwana, nadhani asiishie hapo bali awape pia jamaa wa TBC waraka wa kuwaambia wawe neutral katiak mchakato huu wa uchaguzi
 
Ameonyesha uungwana mkubwa sana katika hili. Though JK ni so creative katika suala zima la namna ya kuwateka wananchi. Hapa keshoongeza credit kadhaa kisiasa.
 
Hiyo ya tarehe kali. Back-dated a year ago.

Lakini ni uungwana kutoa pole, walau wakati jua linawaka.
 
kama kuna mtu ana barua rasmi kama hii kutoka kwa raisi ya kuwapa pole wale wananchi walio pata ajali kwenye hile ajali iliochukua maisha ya watu 18 waiweke hapa ndani hili inibadilishe mawazo ya kwamba hii pole ni ya kisiasa zaidi wakati huu wa uchaguzi.


Si maanishi kwamba ni kosa kutoa pole lakini sidhani kama ilitakiwa hiwe "taarifa kwa vyombo vya habari" huko huko walipofanya ingetosha na waandishi wa habari wangeweza kujua kwa kumuuliza swali la jambo hilo Dr.Slaa, kwa kutaka kuwapunguza wananchi hasira zao wakati huu tunaelekea uchaguzi wakaona bora wawape taarifa waandishi wa habari kwamba "nimempa pole mpinzani wangu kaumia mkono" kwani itawafikia wananchi.


Nita badilisha mawazo yangu kama kulikuwa na taarifa rasmi kwa waandishi wa habari kama hii kutoka ikulu kuhusu hile ajali ilichokua maisha ya watanzania 18.
 
Hata hivyo, hii sio barua ya hivi karibuni, ilishatolewa zamani (31 Julai 2009) kwa hiyo imepitwa na wakati. Kama asemavyo Wenger, ni vyema angewapa pole hawa waliopata ajali juzi kwenye basi.
 
Namshukuru sana JK kwa kulitambua hili,ni uungwana na kukomaa kisiasa,ingawa kama rais wetu,ni kitu ambacho alitakiwa kufanya....Makamba angekua rais,angechuna tu.....teh teh
umakini wa watu wa Kurugenzi ya Ikulu unatia shaka sasa hapa ni kutafuta kuwapa habari watu wa magazeti hiyo Jumatatu! Mweeh Mungu anajua!
 
Ofcourse JK masuala kama haya ya kutoa pole ndiyo kwake haswaaa lakini siyo uongozi!!!!!!
 
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT'S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Julai 31, 2010, amemtumia salamu za pole Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mheshimiwa Wilbroad Slaa, kufuatia habari kuwa kiongozi huyo amevunjika mkono.

Aidha, Rais Kikwete amemtakia Mheshimiwa Slaa aweze kupona haraka na kupata nafuu ya kuendelea na shughuli zake za kila siku katika kutumikia umma wa Watanzania.

Katika salamu hizo, Mheshimiwa Rais amemwambia Mheshimiwa Slaa: "Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuumia kwako kwa kuvunjika mkono. Kwa dhati ya moyo wangu, nakutumia salamu nyingi za pole na kukuhakikishia kuwa niko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu cha maumivu."

Ameongeza Mheshimiwa Rais: "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe uwezo wa kupona haraka ili uweze kurejea katika shughuli zako za kutumikia umma wa Watanzania."

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

31 Julai, 2009

Mmmmmh hapo walijua kuwa jamaa atavunjika mkono??
 
hivi huko ikulu kuna watu wenye akili timamu kweli?makosa ya kijinga kabisa haya...Huyu rweyemamu anafanya kazi gani pale?????shame
 
mimi nimeshangaa sana, kweli mtu anakosea tarehe akitegemea sisi tujue hiyo pole imetoka kweli, mbona hilo kosa ni technical, hvii mtu ataminije kuwa hiyo pole ni ya kweli? hapa siwezi hata kukomenti kuwa raisi amekuwa sincere, make tarehe haiendani na tukio halisi, labda kama kuna mtu ameiedit.
 
Ila huko Mwanza kuna mambo mengi haswa kwa wanasiasa! Hata JK mwenyewe alishaonja jito ya jiwe huko kama sijakosea ni mara mbili hivi!! Dr Slaa asingekuwa mkristo mwadilifu ningemshauri aende huko Bagamoyo kwa wataalam wakamweke sawa!!
 
Haijasainiwa ni draft tu iliyochomolewa kwa secretary kwa mtindo wa copy and paste, si unajua uvivu wa watu wa pale ofisini? Mambo mengine JK asilaumiwe, Chief Administrative officer ndiye mwenye dhamana ya kuangalia haajiri mambumbumbu, kwani hiyo ilikuwa barua ndefu kiasi cha kushindwa kuichapa? Kama ingesainiwa au angalau paandikwe "signed by...." ningedanganyika kwamba wakubwa wa secretary nao wameiona. Kukosea secretary sio jambo la ajabu hata hivyo, lakini kila tupatapo kitu kutoka Ikulu kina utata, ina maana reflection ya ajira za kiundugu na sio kitaaluma. Shame on you! Bora yule polisi aliamua kujikosoa kwa risasi Tarime kuliko wachapiaji wa Ikulu nenda rudi kutwa kuchwa. Mtakuwa waungwana mkikitoa mnamchafua mno Raisi wetu. Au mmumzoea sana kwa tabasamu lake na upole? Ndio maana mnamkalia kichwani anapata matusi yasiyokuwa yake.
 
Kilemi
dah! umenifanya nicheke mwenyewe
Yaani umekuwa convinced kwamba nguvu za giza zaweza kuhusika kumwangusha Dr. Slaa huko Mz.
 
Back
Top Bottom