Bless the 12
Member
- Nov 5, 2010
- 61
- 4
Hivi karibuni nimeona msururu wa kujipendekeza kwa rais kwenda kwenye sherehe za kikristo. Nadhan Jk anajipendekeza tu kwa wakristo maana ameshajua ameriharibu mwenyewe kwa kutengeneza vita ya kidini. Sasa hivi kila kukicha anatafuta wapi wakristo wana sherehe, hahahaaa hata hana aibu kwani mbona haendi kwa masheikh wake au wamekufa ndo maana anatangatanga! Kwa kuwa ulinzi haupo tena.
Rais usijiaibishe kama mtoto mdogo, sie tumeshamgundua upuuzi wako unataka kutupumbaza eti uko karibu na wakristo ili baadae ahakikishe 2015 uweke muislamu. Hakuna mtoto mdogo siku hizi, umeshafulia!!
We fanya maendeleo ya nchi tu ndo tukupime vizuri.
Rais usijiaibishe kama mtoto mdogo, sie tumeshamgundua upuuzi wako unataka kutupumbaza eti uko karibu na wakristo ili baadae ahakikishe 2015 uweke muislamu. Hakuna mtoto mdogo siku hizi, umeshafulia!!
We fanya maendeleo ya nchi tu ndo tukupime vizuri.