Bibi yangu aliiniambia
"sisi tunazaa lakini hatujui tunazaa nini"
haya wale wenye akili za kitoto piteni tu
na wanaulewa huo msemo msiudharau..
Mtoto ni zawadi , hatuna uwezo
wa kutabiri watakavyo kuwa..
cha muhimu ni sisi kuwapa malezi
bora na kuwapa miongozo mema
lakini papo hapo tukumbuke wanakua
na akili zao wenyewe kuna wengine wataonyesha
mapema watakavyo kuwa lakini kuna wengine LA..
na si vema kumtabiria mabayaa...