Afro-Arabica
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 1,107
- 492
Yes Mpendwa Nde''''' umetaka kujua ? sasa engeza kamusi yako:- Mashkurra inatokana na neno Shukrani = kwa mwanaume unamtolea Mashkurr na mwanamke unamtolea Mashurra !! Lugha ya Kiswahili bado kichangaa na itazidi kulelewa na kutunzwa na lugha mama ya kiarabu. hakuna shaka maneno tutawapangia kwa taratibu muwafaqa.Good luck.duuuu hii mashkurra ndio nini..