Mada: Fahamu mbinu mbalimbali zinazoweza kukuwezesha kupata mtoto wa kiume

Haya ndo madhara ya kunywa gongo,sasa hapa ndo nini.? Una F ya biology wewe.? Nenda kaedit alafu uje upya.
 
Kwa uwelewa wangu na pia ushauri wa Gynocologist ni kwamba siku ya 14 toka siku mama alipoanza hedhi ndiyo siku hasa mama anaweza pata ujauzito wa mtoto wa kuime.

Pia, Baba nae anatakiwa awe yuko vizuri kiafya(kama inawezekana baba asiwe amefanya mapenzi kwa wiki 2hata zaidi kama inawezekana)

Katika ushauri wa pili; ni kuhusu diet ya vyakula anavyokula mama pia vyaweza changia kuhusu upatikanaji wa watoto wa kiume au wa kike( Source: google.com)
 
Bwana inabidi utangaze maslai yako (declare you interest) ndo baadaye tukuukumu kama ulikuwa unakimbia kila mwalimu wa Bios alivyokuwa akiingia?
 
mmmmmhhhhh! hii kakufundisha nani? cku ambazo mtu anaweza kupata mimba ni kuanzia cku ya 11 hadi 17 tng baada ya bleed na uhakika zaidi ni cku ya 14, hii yako cjawah kuckia!!!!
 
Ni rahisi sana subiri siku ya tatu baada ya breed kuanza utaona utando mweupe na mzito sasa hapo unaweza kumpa mimba mkeo i mean kukojoa shahawa zako na mimba ya mtoto wa kiume itapatikana

Thread zako lazima nicheke. Hahahaaaa....mia
 
Ni rahisi sana subiri siku ya tatu baada ya breed kuanza utaona utando mweupe na mzito sasa hapo unaweza kumpa mimba mkeo i mean kukojoa shahawa zako na mimba ya mtoto wa kiume itapatikana


Wewe utakuwa umetokea milembe,eti siku ya tatu baada ya kutoka breed unapata mimba na atakuwa mtoto wa kiume?!,nonsense!
 
Mbona naona tofauti nyingi!nijuavyo MUNGU ndiye anayempatia mtu mwanamke au mwanamme

siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta
 
mmmmmhhhhh! hii kakufundisha nani? cku ambazo mtu anaweza kupata mimba ni kuanzia cku ya 11 hadi 17 tng baada ya bleed na uhakika zaidi ni cku ya 14, hii yako cjawah kuckia!!!!

na ni siku a,mbayo kunakua na ute mweupe na mzito ukeni ambayo inaanzia siku ya tatu na kuendelea
 
siku ya tatu yai la kike linakua halina nguvu hivyo yai la kiume ndio lina tawala usichanganye imani na sayansi ni sawa na maji na mafuta

Hahahahahahaaaa...mvua inanyesha Mwanza baridi kwelikweli nimecheka mpaka nimesweat.
 
Back
Top Bottom