JacksonMichael
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 339
- 61
Mkuu umekusudia Mnyama yupi wa Taifa? Ng'ombe? Nyama ya Ng'ombe ina madhara bora ule nyama ya kuku kuliko kula nyama ya ng'ombe au Kitomoto nyama zote zina madhara ila nyama ya kuku ndio bora inafaa kuliwa wakati wote mkuu.
Kaka mbona unazunguka? KITIMOTO ndo hatari zaidi na ndio wataalamu wanavyosema! pia sio sahihi kusema kuku wapo poa? una maana gani maana kuku wa sasa wanafugwa kwa wiki 6 tu na wanakula madawa balaa nasikiwa watu wengine wanawapiga na ARV kidogo basi ananenepa hatari, kwa hiyo sidhani kama kuku hawa ndio uliowazungumzia!