Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

kuna michiri kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa mana hata niinapo huwa hainifurahishi kabisa.
IMG-20130709-WA004.jpg
 
kuna michiri kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa mana hata niinapo huwa hainifurahishi kabisa.

Inawezekana kweli inaleta dosari, lakini je wamependa itokee?
 
kuna michiri kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa mana hata niinapo huwa hainifurahishi kabisa.

"Michirizi ya utam nyuma ya goti mimi hoi"-Mwanafalsafa kwenye wimbo wa mabinti

Inakuwaje unasema inaleta dosari wakati wengine wanaita ni utam?
 
Tyta

Kuna michirizi inayotokana na ngozi kuvutika kwa ukali wa vipodozi (pichani). Pia ipo mingine tumboni hutokana na kutanuka kwa tumbo wakati wa ujauzito (haiwatokei wanawake wote) mingine husababishwa na unene mtu anaponenepa ngozi hutanuka akikonda michirizi huonekana na mingine hutokea nyuma ya goti, eneo la nyonga au mapajani kama mapambo.
 
Last edited by a moderator:
kuna michiri kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa mana hata niinapo huwa hainifurahishi kabisa.

Ushawahi mmoja ukaona utamu wao? au umeishia kuchungulia na kuja hapa kulalamika tu
 
Hiyo michirizi hata wanaume wanayo co wanawake tu na ni kawaida hujakosa la kuchunguza kweli... Kamchunguze kuku km utamla
 
Tyta

Huyu anaonekana kabisa amejichubuaku na ile michirizi ya asili haitokani na vipodozi
ila kila mtu na upendeleo wake mwingine hiyo michirizi anaona pambo kabisa na anaifurahia.
 
Last edited by a moderator:
"Michirizi ya utam nyuma ya goti mimi hoi"-Mwanafalsafa kwenye wimbo wa mabinti

Inakuwaje unasema inaleta dosari wakati wengine wanaita ni utam?

Hivi kwanini inaitwa michirizi ya utamu?
 
Back
Top Bottom