Jinsi ya kuchangia CHADEMA kwa njia ya M-PESA

Tumainimakene Jitahidini na mitandao mingine ianze kz fasta km mimi matumiz yangu ni Airtel na na Tigo sasa tunakosa nafasi yakuchangia

Kweli kabisa umeniwahi swali langu lilikuwa hivi mitandao mingine inakuwaje? Wengine hatuna Voda. Kurugenzi tujibuni fasta!
 
Kweli kabisa umeniwahi swali langu lilikuwa hivi mitandao mingine inakuwaje? Wengine hatuna Voda. Kurugenzi tujibuni fasta!

Ingawa ninayopia Line ya voda lkn siitumii mara kwa mara sasa kwenda kwenye vibanda ikiwa line nnazotumia zina Pesa inakuwa Adhabu kdg,,,,,! Plzzzz,,,wakuu zingatieni maoni yetu Tunataka mjue nikwakiasi gani watu tunatamani mabadiliko na wakuu wa UKAWA wajue kabisa kwamba kwa sasa mtanganyika anaejitambua hashabikii chama kinachoshabikiwa ni maendeleo tutajitahidi tuwezavyo kuiweka uKAWA madarakani wakizingua tunawang"oa Hatuwachukii CCM kwa sababu ya jina lao NO,, kwasababu ya Matendo yao
 
Niache kuchangia maabara ndugu zangu wasome eti nichangie Chadema Mbowe, Slaa na vimada vyao wale.

B271PL115 Imethibitishwa. Tsh500,000 imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED kwenye akaunti namba M4C tarehe 31/10/14 saa 11:58 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh2,356,876

Peoplessssss
 
Mbona m4c ndiyo full ngono hakuna la maana hata moja mnalofanya kwenye mikusanyiko yenu wazinzi tu,chama gani kimelenga kukusanya pesa tu bila kuwatumikia watu wake.



B271PL115 Imethibitishwa. Tsh500,000 imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED kwenye akaunti namba M4C tarehe 31/10/14 saa 11:58 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh2,356,876

Peoplessssss
 
Matumizi yanapangwa na Lema na Mbowe. Ole wake mwanachadema ahoji kuhusu matumizi.,lazima afukuzwe kwenye chama



B271PL115 Imethibitishwa. Tsh500,000 imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED kwenye akaunti namba M4C tarehe 31/10/14 saa 11:58 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh2,356,876

Peoplessssss
 
Kodi yako inakwenda kwenye ruzuku ya Chadema kwa ajili ya mwenyekiti kuponda raha Dubai na Afrika Kusini



B271PL115 Imethibitishwa. Tsh500,000 imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED kwenye akaunti namba M4C tarehe 31/10/14 saa 11:58 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh2,356,876

Peoplessssss
 
Nilichangia fasta...kiasi? Buku tano kwa kuanzia.

Ila Kurugenzi ya Habari, vipi kuhusu e-membership?
 
B271PL115 Imethibitishwa. Tsh500,000 imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED kwenye akaunti namba M4C tarehe 31/10/14 saa 11:58 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh2,356,876

Peoplessssss

Ni moja ya matumizi ya pesa
 
Huwezi ukakuta nimechangia chama cha siasa hata siku moja bora nile nishibe ninunue smartphone niendelee kuchangia jamii forum
 
Back
Top Bottom