fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Me nilianza kuvuta mwaka 1975, Mungu mkubwa nimeacha tangu Februari 2015 [40yrs], lakini nakushauri uamue kuacha.Hakuna miujiza zaidi ya uamuzi.
Mkuu hii 1975 ni kweli?
Me nilianza kuvuta mwaka 1975, Mungu mkubwa nimeacha tangu Februari 2015 [40yrs], lakini nakushauri uamue kuacha.Hakuna miujiza zaidi ya uamuzi.
Mkuu hii 1975 ni kweli?
vuta bangi dry utaona sigara zinazingua,
God made grass man made booze who do you trust?
Unasema; "Sigara natamani kuiacha lakini nikiiona SM moyo unanilipuka"
Halafu hapo hapo unasema; "Kiukweli nachukia kuvuta Sigara"
Hapo Mkuu huoni kuwa unajipinga wewe mwenyewe na kwa kauli zako wewe mwenyewe? Kutokana na ilivyoandika sifikiri kwako kama itakuwa ni rahisi kuacha kuvuta!
Tatizo linaonekana Mkeo tu ndio kakushikia Bango uache kuvuta...
Ukiweza kuacha tuletee mrejesho humu..
Ni kweli, halafu nilikuwa kidato cha pili[form two].Mkuu hii 1975 ni kweli?
Wakuu nina zaidi ya miaka navuta sigara, nimejaribu kuacha lakini dah inaniwia ngumu mno, kibaya zaidi hadi ndoa haina raha kwa sababu ya masigara, natamani kuacha lakini nikiiona sm moyo unanilipuka naomba ushauri kwa waliofanikiwa kuacha walitumia mbinu gani? Manake ki ukweli nachukia kuvuta sigara lakini nashindwa.
Ni kweli, halafu nilikuwa kidato cha pili[form two].