johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Kitu kimoja ambacho Shujaa Magufuli alikuwa nacho ni kuogopa mambo madogo na kuwa jasiri kwenye mambo makubwa na Mazito.
Shujaa aliogopa Mikutano ya Huu upinzani Uchwara lakini lilipokuja jambo gumu la Corona akatuvusha salama.
Shujaa ndio alituchagulia Wabunge kwa mfumo wake unadhani angetamani kuwa na aina gani ya Wabunge kama siyo akina Kibajaj wanaoigopa ripoti ya CAG kama ukoma.
Kibajaj hata umpe miaka 10 hawezi kuchambua ripoti ya CAG akili yake imeshagonga magharibi Wahenga walisema Kambale mkunje angali mbichi.
Kama kuna fursa adhimu ambayo Wabunge wangeipigania ni kuchambua ripoti ya CAG sasa Kwani ingewajenga kwa Uchaguzi wa 2025 lakini ndio hivyo Biblia inasema Wala Rushwa wamepofushwa macho.
Nileteeni Gwajima!
Shujaa aliogopa Mikutano ya Huu upinzani Uchwara lakini lilipokuja jambo gumu la Corona akatuvusha salama.
Shujaa ndio alituchagulia Wabunge kwa mfumo wake unadhani angetamani kuwa na aina gani ya Wabunge kama siyo akina Kibajaj wanaoigopa ripoti ya CAG kama ukoma.
Kibajaj hata umpe miaka 10 hawezi kuchambua ripoti ya CAG akili yake imeshagonga magharibi Wahenga walisema Kambale mkunje angali mbichi.
Kama kuna fursa adhimu ambayo Wabunge wangeipigania ni kuchambua ripoti ya CAG sasa Kwani ingewajenga kwa Uchaguzi wa 2025 lakini ndio hivyo Biblia inasema Wala Rushwa wamepofushwa macho.
Nileteeni Gwajima!