SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,143
- 7,912
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa wapenzi na mashabiki wa Mamelodi Sundowns kujiandaa kuhudhuria mechi dhidi ya Deportivo de Utopolo itakayofanyika tarehe 30/03/2014.
Sasa tumekubaliana kila goli letu likifungwa tutacheza style inayotrend sasa hivi ya amapiano iitwayo Tshwala Bam.
View: https://youtube.com/shorts/6JmbKH6pho4?si=ECXpdzIq1uj-h1G3
Hii staili ni simpo sana kujifunza na haichoshi maana kwa usiku ule inawezekana tutairudia kama mara 5 hivi.
Kama Waziri Ndumbaro ana hadi kadi hai ya uanachama ya Liverpool, sisi ni nani tushindwe kusapoti timu tunayoipenda tena ya Waafrika wenzetu tuliopambana pamoja kumuondoa mkaburu?
Nyongeza: Halafu nimegundua kwa mbaaaali hii style ina umayele fulani, ingawa hii ina unyama flani hivi classic kwa hiyo hata waliokandwa wanaweza kutujoini.
Sasa tumekubaliana kila goli letu likifungwa tutacheza style inayotrend sasa hivi ya amapiano iitwayo Tshwala Bam.
View: https://youtube.com/shorts/6JmbKH6pho4?si=ECXpdzIq1uj-h1G3
Hii staili ni simpo sana kujifunza na haichoshi maana kwa usiku ule inawezekana tutairudia kama mara 5 hivi.
Kama Waziri Ndumbaro ana hadi kadi hai ya uanachama ya Liverpool, sisi ni nani tushindwe kusapoti timu tunayoipenda tena ya Waafrika wenzetu tuliopambana pamoja kumuondoa mkaburu?
Nyongeza: Halafu nimegundua kwa mbaaaali hii style ina umayele fulani, ingawa hii ina unyama flani hivi classic kwa hiyo hata waliokandwa wanaweza kutujoini.