Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
..................... maneno mutiribu ............ maneno quntu !Miafrika jamani ama kweli Ndivyo Ilivyo..
Ebu rudieni kusoma vizuri, Mkapa anajibu hoja ya Waislaam waliposema:-
"Waislamu hatuna moyo tena na Serikali ya nchi hii na vyombo vyake vyote likiwemo Bunge na Mahakama".
Sasa mnachokisifia hapa ni kipi? haya sii maneno tunayoyasema watu wote kila siku au kwa sababu yalisemwa na waislaam! Ni majibu gani ya kuridhisha ama yenye kuonyesha ukomavu hapa.. mimi sioni isipokuwa siasa za udini mtupu.. rahisi kwenu kuwaona waislaam ktk hali inayowakandamiza hata nyie, mlichoka na mnaendelea kuchoka na utawala wa CCM na Mkapa?..
Yaani mnadanganywa kirahisi na maandishi ya mtu kwa sababu tu alikuwa akijibu upande wa pili usiokuhusu wewe kama Mkristu.. Ujinga mwingine bana ndio maana JK atatawala hadi 2015 na CCM itatawala milele maanake hapa kinachofuata ni CCM kumweka mgombea Mkristu Dr. Slaa anapokonywa washabiki na umaarufu.