george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,230
- 1,888
"Wakati niko chuo kuna manzi nlikua nae nilimpenda sana na nlkua na mipango nae mizuri tu tukimaliza kusoma tuwe pamoja.
Siku moja nikamkuta yuko na rafiki zake wamekaa nkamwita pembeni nikaongea nae kisha nikaondoka zangu. Baada ya hio siku kila atakapokua na rafiki zake anasema hataki nimfate nkatulia tu nkajua labda wivu.
Tulivomaliza chuo mapenzi yakawa kama ya kufos ivi nisipomtafuta basi hatuongei nkajiongeza nkamove on. Sasa mwaka huu kaja kunitafuta anaomba msamaha turudiane nkamwambia simsamehi hadi atakaponipa sababu kwanini alifanya vile.
Kumbana sana akaja akasema kua rafiki zake walimwambia kua hatuendani yani yeye alkua mnene mie mwembamba ndomana akawa anaona aibu nionekane tena mbele ya rafiki zake.
Cha kushangaza mmoja wa wale rafiki zake sjui alitoa wapi namba yangu akanichek akanitongoza ila sikumwambia yule dem maana sikutaka kuwagombanisha.
Binafsi nimemsamehe ila siwezi kurudiana nae tena maana kwanza saivi nipo mkoa mwingine kikazi na mambo ya long distance relationship sitaki kabisa na pia ili ajifunze tu kwa faida yake.
Nlichogundua bana wanawake wananafkiana sana na hawapendani kama sisi wanaume tunavopendana kiwana.
Share wanawake wajifunze kama wanataka ushauri watafte watu wazima na sio vijana wenzao tena hasa ambao hawajaolewa.
Siku moja nikamkuta yuko na rafiki zake wamekaa nkamwita pembeni nikaongea nae kisha nikaondoka zangu. Baada ya hio siku kila atakapokua na rafiki zake anasema hataki nimfate nkatulia tu nkajua labda wivu.
Tulivomaliza chuo mapenzi yakawa kama ya kufos ivi nisipomtafuta basi hatuongei nkajiongeza nkamove on. Sasa mwaka huu kaja kunitafuta anaomba msamaha turudiane nkamwambia simsamehi hadi atakaponipa sababu kwanini alifanya vile.
Kumbana sana akaja akasema kua rafiki zake walimwambia kua hatuendani yani yeye alkua mnene mie mwembamba ndomana akawa anaona aibu nionekane tena mbele ya rafiki zake.
Cha kushangaza mmoja wa wale rafiki zake sjui alitoa wapi namba yangu akanichek akanitongoza ila sikumwambia yule dem maana sikutaka kuwagombanisha.
Binafsi nimemsamehe ila siwezi kurudiana nae tena maana kwanza saivi nipo mkoa mwingine kikazi na mambo ya long distance relationship sitaki kabisa na pia ili ajifunze tu kwa faida yake.
Nlichogundua bana wanawake wananafkiana sana na hawapendani kama sisi wanaume tunavopendana kiwana.
Share wanawake wajifunze kama wanataka ushauri watafte watu wazima na sio vijana wenzao tena hasa ambao hawajaolewa.