loomumasaai
Member
- Apr 3, 2012
- 6
- 1
kwa lowassa kushiriki masuala ya dini hakuanza leo wala jana hiyo ni utashi wake binafsi na mola wake, mimi nadhani kwenye hili hana kosa jamaa ki ukweli ni mchapa kazi sana katika kundi lao wana ccm mimi namuona angalau yeye anafaa kuliko wafuata upepo wengine