johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Siasa za Mbeya Mjini zimebadilika kwa ghafla sana na hata ule mkakati wa kugawa Jimbo unaweza kuinufaisha CHADEMA zaidi
Natoa tu angalizo kwa Mwenyekiti wa CCM mkoa aliyekemewa hadharani juzikati
Nawatakia Jumanne yenye baraka 😂
Natoa tu angalizo kwa Mwenyekiti wa CCM mkoa aliyekemewa hadharani juzikati
Nawatakia Jumanne yenye baraka 😂