Kama ni leo fanya 60,000. Bado jipyaNakupa 50,000/
Kwa uaminifu unaweza kuja kulichukua ndani kwangu kabisa, nina shida kidogo na pia nategemea kusafiri soon.sio la dili asee, kwani unanunua na kuliuza, kwanini ununue kitu bila malengo nacho? any way kufikia next week kama halijauzwa ni pm
Limenunuliwa mwezi uliopita tu, huwa linatumika mara chache sana hivyo bado gesi ipo nyingi. Limenunuliwa 90,000 na linauzwa 70,000 punguzo litakuwepo kwa atakayenunua leo. Linapatikana Kigamboni
Duh! mbali kidogouko mbali ningekupa hela kama ungekuwa maeneo ya ukonga
Duh! mbali kidogo
weka namba zako za sm na picha ya hilo jiko
umeshauza?
umeshauza?
bado lipo.
0789776668 ndio nipo njiani picha hadi nifike ghetto.
Limenunuliwa mwezi uliopita tu, huwa linatumika mara chache sana hivyo bado gesi ipo nyingi. Limenunuliwa 90,000 na linauzwa 70,000 punguzo litakuwepo kwa atakayenunua leo. Linapatikana Kigamboni
Anayeuza ni nani?
sio la dili asee, kwani unanunua na kuliuza, kwanini ununue kitu bila malengo nacho? any way kufikia next week kama halijauzwa ni pm
labda wote!!
Limenunuliwa mwezi uliopita tu, huwa linatumika mara chache sana hivyo bado gesi ipo nyingi. Limenunuliwa 90,000 na linauzwa 70,000 punguzo litakuwepo kwa atakayenunua leo. Linapatikana Kigamboni
bado lipo.
0789776668 ndio nipo njiani picha hadi nifike ghetto.
nyie mapacha?...*wink*
id mbili zote za nini? moja ya kutukana na nyngine ya kuwa serious?!!!...lazima ujichanganye.
Haaa haaa we ni noma .. nimeamkia jf nakutana na hii post nimecheka vibaya ...