Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,928
- 5,401
Habari wana JF,
Tukiwa humu ni kama Ndugu tunabadilishana mawazo na kuamshana fikra. Jana jumatatu jioni nimepigiwa simu na hiyo namba. Anachofanya yeye ukishapokea ni kukuliza unajua unaongea na nani!? Ukikosea ukajichanganya kumjibu hapo ndio mizinga ya hela huanza tena ndefu.
Kajichanganya kwangu baada ya sauti yake kumfananisha na mtu ambae kanisaidia hela wiki iliyopita kwa kujua hali niliyokuwa nayo. Tigo tusaidieni hiyo ni namba ya kampuni.
Nawasilisha.
Tukiwa humu ni kama Ndugu tunabadilishana mawazo na kuamshana fikra. Jana jumatatu jioni nimepigiwa simu na hiyo namba. Anachofanya yeye ukishapokea ni kukuliza unajua unaongea na nani!? Ukikosea ukajichanganya kumjibu hapo ndio mizinga ya hela huanza tena ndefu.
Kajichanganya kwangu baada ya sauti yake kumfananisha na mtu ambae kanisaidia hela wiki iliyopita kwa kujua hali niliyokuwa nayo. Tigo tusaidieni hiyo ni namba ya kampuni.
Nawasilisha.