Jihadhari na aina hii mpya ya utapeli kwa njia ya simu

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Apr 16, 2018
3,928
5,401
Habari wana JF,

Tukiwa humu ni kama Ndugu tunabadilishana mawazo na kuamshana fikra. Jana jumatatu jioni nimepigiwa simu na hiyo namba. Anachofanya yeye ukishapokea ni kukuliza unajua unaongea na nani!? Ukikosea ukajichanganya kumjibu hapo ndio mizinga ya hela huanza tena ndefu.

Kajichanganya kwangu baada ya sauti yake kumfananisha na mtu ambae kanisaidia hela wiki iliyopita kwa kujua hali niliyokuwa nayo. Tigo tusaidieni hiyo ni namba ya kampuni.

Nawasilisha.
 
Hhhahhha sio gubrgube lako umeamua kulilipua kisa lina piga sana mizinga???
Hapana mkuu ni ndemba! alivyo nipigia nikataka jina la Hiza hapohapo niksmpigia hiza akasema hana hiyo namba na kuangalia jina kama natuma hela linasomeka Juma sijui nani huko.
 
Hiyo namba inakupigia simu na kukuliza unajua unaongea na nani?Ukitaja tuu jina labda Oswald anadakia aah unajua kutambua sauti hii pia ni namba yangu isave ndo maelezo ya mizinga inaanzia hapo ooh baba kalazwa.Niazimie laki2
Ahaa, sawa. Sasa nimeelewa.
 
Mbona hueleweki?
Hujaeleweka
Hiyo namba inakupigia simu na kukuliza unajua unaongea na nani?Ukitaja tuu jina labda Oswald anadakia aah unajua kutambua sauti hii pia ni namba yangu isave ndo maelezo ya mizinga inaanzia hapo ooh baba kalazwa.Niazimie laki2
Hujaelewa nini hapo?Ukiibiwa ndo uteelewa wenye kuelewa wamenielewa!
Hujaeleza vizuri, toa maelezo ya kutosha.
Ipigie hiyo namba itakupa maelezo,mimi nimemaliza kutahadhalisha!
Mods washapita na namba ndio maana uzi haueleweki.
 
Nashukuru sana Mods kwa kunirekebishia Heading, hiyo namba naomba ifanyiwe kazi kwa wahusika itaumiza wengi!
 
Hiyo namba inakupigia simu na kukuliza unajua unaongea na nani?Ukitaja tuu jina labda Oswald anadakia aah unajua kutambua sauti hii pia ni namba yangu isave ndo maelezo ya mizinga inaanzia hapo ooh baba kalazwa.Niazimie laki2
Sasa hapo unaibiwa vipi, vitu vingine tujiongeze.
 
Back
Top Bottom