Jifunze methali za kihindi

mkomavu buzi

Member
Apr 11, 2011
76
14
Nyani haoni- varisa miwani. Debe tupu- weka dengu au choroko. Masikini akipata - iko acha katika jumba ya watu. Asie sikia la mkuu- pelaka polisi. Penye wengi- iko kutano ya ccm. Penye kuku wengi- chinja bili tatu. DUH KWELI WAHINDI NOMA.
 
Maji ukiyavulia nguo - iko ona uchi
Bandu bandu - jirani yake na sadru
Usipoziba ufa - miji chugulia dani au matoto iko chugulia dani
Mtaka cha uvunguni - inua matanda au tuma matoto
 
Alikuwepo mama mmoja wa kihindi, akipenda sana wanaume wa kiafrika(GOLO). Basi Katika mambo ya kikubwa akisema hivi: HAPANA TIA MAJI DANI, Yaani usimkojolee kisa anaogopa kuzaa Mtoto (GOLO). SITIE MAJI DANI Eeh. NAOGOPA.
 
Sikia bana polisi.mimi hapana kosa.mimi naendesa gari nasangaa mtu naruka toka nyuma paka bele ya gari.sasa sikya kama mutu moja nakufa hakuna tabu bana.kama kila siku mungu yetu na chinjwa sisi pana lalamika.
 
Wakati veve nomba kazi makono nyuma sasa mapata kazi makono bele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom