Iposiku watatuelewaaaaNa ndio maana bado siwaelewi ccm yaani ni sawa na wameingia ulingoni na bondia aliyefungwa pingu mikono afu wakimpiga knockout wananshingilia?? Inaleta maana kweli?? Hakuna fair ground ila wakishinda wanaanza kushangilia na kutukejeli wanasahau uchaguzi wa mara ya mwisho 2015 ccm imepata madiwani wachache sana kuliko wakati wowote ule toka uhuru....na upinzani kutoka halmashauri 5 mpaka 20+ then wakija hmu wanajitia moyo na hizi kata ''walizozitetea'' kwa kupigana na bondia mwenye pingu
SHAME ON U CCM