mwipwa
Senior Member
- May 25, 2018
- 102
- 255
Salamu kwenu wapwa,
Nadhani hata wewe imewahi kutokea hii sometimes, kuna muda inatokea unaambiwa “I miss you” na mtu ambae kiuhalisia hata hujammiss; yawezekana akawa mpenzi, Ex, rafiki au ndugu.
Hii ni kwa sababu ukijibu tu “I miss you too”unajua kuna kitu kinafuata na wewe hutaki kitokee na haitakufanya ujisikie vizuri kwa sababu umepretend una mmiss lakini kiuhalisia haujammiss, na endapo utajibu “I don’t miss you” utaonekana jeuri!
Huwa unajibu vipi ili kumfanya asijikie vibaya na bila kuharibu uhusiano wenu?N
a pia kama akikikuuliza “Do you miss me?“ Njia ipi rahisi ya kumkwepa ?
Nadhani hata wewe imewahi kutokea hii sometimes, kuna muda inatokea unaambiwa “I miss you” na mtu ambae kiuhalisia hata hujammiss; yawezekana akawa mpenzi, Ex, rafiki au ndugu.
Hii ni kwa sababu ukijibu tu “I miss you too”unajua kuna kitu kinafuata na wewe hutaki kitokee na haitakufanya ujisikie vizuri kwa sababu umepretend una mmiss lakini kiuhalisia haujammiss, na endapo utajibu “I don’t miss you” utaonekana jeuri!
Huwa unajibu vipi ili kumfanya asijikie vibaya na bila kuharibu uhusiano wenu?N
a pia kama akikikuuliza “Do you miss me?“ Njia ipi rahisi ya kumkwepa ?