Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,730
- 29,265
Kujiamini ndio kila kitu.. ila hiz dhana za kwamba mwanake wanaangalia pesa.. sana.. ndizo zinazofanya baadh ya vijana wa kiume kujiona hawawezi
Unaamanisha vijana watafute pesa kuanzia 100. Mtu mwenye hili jina lianzie kuitwa mwanaume mwenye sh ngapi?Acha kuwadanganya wenzako. tafuta pesa. wewe jidanganye hapo huna mia mfukoni eti unajivunia kujiamini..
utakuja kulia mda si mrefu wewe.
kujiamini kwa mwanaume ni pesa tuu hakuna kengine kile
MkuuUnaamanisha vijana watafute pesa kuanzia 100. Mtu mwenye hili jina lianzie kuitwa mwanaume mwenye sh ngapi?
My point, wanaume wote hatuwezi kuwa na pesa(msemo utumikavyo mtaani ) angalia hata mtaani wasio na pesa ndiyo wengi. Je nao hawaruhusiwi kujiamini kwasababu hawana pesa?
Ndo yale yale nitajiajiri vp huku sina mtajiHabari za asubuhi wana JF natumaini mko poa sana na wikiendi tulivu!
Nina neno moja ambalo ningependa kushare na wanaume wenzangu kuhusu jinsi ya kujiamini hata kama huna pesa na siku zote hautakiwi kukinyenyekea kiumbe kilichotoka katika ubavu wako!
Binafsi hata mwanamke awe mzuri vipi kwangu hafui dafu kufikia hatua ya kunifanya nisijiamini au kujidharau na pia nakuombeni wanaume wenzangu tambueni kuwa siku zote mwanamke hupenda mwanaume mwenye kujiamini na kujiheshimu so muwe na jumapili njema ila pia kina dada kaeni mkitambua kuwa bila sisi wanaume ninyi sio kitu ,
MUWE NA AMANI.
Kujiamini ndio kila kitu.. ila hiz dhana za kwamba mwanake wanaangalia pesa.. sana.. ndizo zinazofanya baadh ya vijana wa kiume kujiona hawawezi
Mkuu najua unachofikiriaaa just try to imagine your words!Acha kuwadanganya wenzako. tafuta pesa. wewe jidanganye hapo huna mia mfukoni eti unajivunia kujiamini..
utakuja kulia mda si mrefu wewe.
kujiamini kwa mwanaume ni pesa tuu hakuna kengine kile
Pepuchi ni ile ile man, haya mengine ni mbwembwe tu, kwani papuchi ya mtoto mkali ina asali?Pesa ndio kila kitu mkuu, huwezi kuwa huna kitu ukawa na confidenc ya kuomba papuchi ya mtoto kigogo anamiliki mkoko wa maana!
Kama huna hela watoto wakali utaishia kuwaona tu na kuwaita shemej zako
Pesa kiasi gan ndio ujiamini????Acha kuwadanganya wenzako. tafuta pesa. wewe jidanganye hapo huna mia mfukoni eti unajivunia kujiamini..
utakuja kulia mda si mrefu wewe.
kujiamini kwa mwanaume ni pesa tuu hakuna kengine kile
Kwanza kujiamini ni namna mojawapo muhimu ya kufanikiwa kipesaUnaamanisha vijana watafute pesa kuanzia 100. Mtu mwenye hili jina lianzie kuitwa mwanaume mwenye sh ngapi?
My point, wanaume wote hatuwezi kuwa na pesa(msemo utumikavyo mtaani ) angalia hata mtaani wasio na pesa ndiyo wengi. Je nao hawaruhusiwi kujiamini kwasababu hawana pesa?
Kwani jamaa amesema wanaume wasitafute pesa??? Mwanaume uwe hauna ama unazopesa unatakiwa ujiamini.kujiamini ni hulka ya kiumeMkuu
lazima wanaume tutafute pesa. hilo lielewe tu.