Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Serikali: Hatufuti adhabu ya kifo
na Datus Boniface
SERIKALI imesema haitafuta adhabu ya kifo kama nchi nyingine za Afrika zilivyofanya, hadi itakapopokea taarifa za wananchi kupinga adhabu hiyo.
Msimamo huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ufunguzi wa mkutano unaohusu adhabu ya kifo.
Alibainisha kuwa Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa pamoja na Rais Jakaya Kikwete hawajatoa adhabu ya kifo, hivyo bado kuna watu wenye kutaka ifutwe huku wengine wakitaka isifutwe.
na Datus Boniface
SERIKALI imesema haitafuta adhabu ya kifo kama nchi nyingine za Afrika zilivyofanya, hadi itakapopokea taarifa za wananchi kupinga adhabu hiyo.
Msimamo huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ufunguzi wa mkutano unaohusu adhabu ya kifo.
Alibainisha kuwa Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa pamoja na Rais Jakaya Kikwete hawajatoa adhabu ya kifo, hivyo bado kuna watu wenye kutaka ifutwe huku wengine wakitaka isifutwe.