Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Habari ya mihangaiko wana jamii....Kwa heshima na taadhima niwashukuru wale wooote waliochangia thread ya jana aliyoitoa mwana jamvi mwenzetu juu ya kuanzisha JF saccos.. kiufupi nilipitia documents zote jana na nikagundua hili jambo linawezekana tukiwa real commited. Kanuni, Sheria na miongozo ya kuanzisha Saccoss ipo na tutofautishe Saccoss nan DECI,.
napenda kutoa hoja ya kupata member wa saccoss waliotayari ili tupate forecast ya member watakuwa wangapi.......kwa kuanzia tunaweza kuandika majina yetu tu then tutakapoanza uandikishaji lazima uje na legal document zinazokutambua wewe na sio synony name.
N.B TAFADHARI UWE SERIOUS NA UWE KWELI EXPECTED MEMBER WA JF SACCOS
AHSANTENI
NAME
1. Kifulambute
napenda kutoa hoja ya kupata member wa saccoss waliotayari ili tupate forecast ya member watakuwa wangapi.......kwa kuanzia tunaweza kuandika majina yetu tu then tutakapoanza uandikishaji lazima uje na legal document zinazokutambua wewe na sio synony name.
N.B TAFADHARI UWE SERIOUS NA UWE KWELI EXPECTED MEMBER WA JF SACCOS
AHSANTENI
NAME
1. Kifulambute