Duu hii kali!.Endelea na jf wakukazie mkeo?. Jaribu kutenga muda.
jamani jf ni raha nadhani sina mda mrefu nimejoini ila raha niliyonayo haielezeki, avitar zinanifurahisha sana, signatures, comments yaani raha tupu mda mwingine hata mke wangu ninamsahau ninapokuwa humu ndani natamani nisitoke jamani
Lakini bora kuliko kwenda kufanya mambo ya ajabu bora ukae zako JF .
Soraya nakujua, unaishi nchi inayoanza na N kwenye buildings zenye jina linaaanza na K, samahan kama utakwazika ila nimewiwa kutoa hli tonge
Ha ha umepata wapi hiyo idea,mi naishi nchi inayoanzia na T,Tanzania na sikai kwenye buildings zinazo anzia na K.
Au unafanya practical ya course uliochukuaga kwa shekh Yahya ha ha!
Mhh yani mji unaoishi unaanza na O, tena ni mji mkuu wa hyo nchi.........mie mke wa shekhe yahaya, ameniachia mikoba
Endelea na jf wakukazie mkeo?. Jaribu kutenga muda.
Ha ha daaa! Inaonekana haukuwa makini hiyo mikoba bora angeniachia hata mimi.