Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
, aisee wizi upo hadi ngazi ya familia ??!! Inatisha jamani lol, inatisha jamani usipokuwepo hesabu unapigwa bao tu tena bila huruma wala aibu!! Hongera mkuu tangulia ngoja nikusanye kamtaji uzuri utaalamu na uzoefu wa nitakachoenda kukifanya ninao, acha niandae kiberiti na petrol ya kuchomea meli.
Hehehe balaa sana kaka watu ni waizi hadi hatari!!