stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
Story gani na hii haijaisha?
haishaisha yote? Sasa unasubiri nin??
Story gani na hii haijaisha?
Mi nasubiri matokeo ya kenya!
Kenya siyo wenzetu wametuache mbali sana, wao wanachuana na africa kusini.
kusini mwa tanzania sijui bado wanagombania lile ziwa pale??
Na upeo huu niuonao kwenye Uzi huu nimekubali Jf ni vichwa!
Pale kwenye ziwa pametulia, si unajua mama mwenye nyumba ana mradi kule kwa yule mama mwenye ziwa?
TUCHEZE GAME LINAITWA The last
man standing. Yani unatuma
comment kisha anaefuata
anaanza na neno ulilomalizia. Kwa
mfano: mtu akiandika, natamani
kwenda mikumi anayefuata
aanze na mikumi mf. mikumi ni
tour inayofuata alaf inayofuata
kuenjoy maisha inayofuata maisha hayana mwenyewe n.k. OK LET US
PLAY Atakaye kuwa wa mwisho
ndie atakayekuwa mshindi.
ulifikiria nini kutoa komedi ya aina hii hapa jamani yaani inatuacha hoi sana nami nimeipenda just its game ya aina yake
Mombo kapata mtoto wa kitanga ana tanga tanga naye huko huko mombo.
Mshindi bado hajapatikana.Mamdenyi kumbe wewe ndo uliibuka mshindi?
Unatembea pekupeku huogopi ukimwiMshindi bado hajapatikana.
Uzi bado unatembea
UKIMWI zama hizi ni kama MALARIAUnatembea pekupeku huogopi ukimwi
Malaria haikubaliki lala na chandarua weweUKIMWI zama hizi ni kama MALARIA
Wewe upo??? NimekumisMalaria haikubaliki lala na chandarua wewe
.Malaria haikubaliki lala na chandarua wewe
Game umeikosea..
Chandarua nini wewe.
Kuna baadhi ya Mbu wanapitisha Sindano zao ukijipendekeza karibu yao pamoja umo ndani ya Chandarua.
Unastukia Nywiiiii