JamiiForums game of the year

ndio mana ziwa limeharibika tokana ana huyo mama mwenyeziwa ambaye hafuniki ziwa mpaka kiama cha radi za mashambulizi zitokee
Pale kwenye ziwa pametulia, si unajua mama mwenye nyumba ana mradi kule kwa yule mama mwenye ziwa?
 
ulifikiria nini kutoa komedi ya aina hii hapa jamani yaani inatuacha hoi sana nami nimeipenda just its game ya aina yake
TUCHEZE GAME LINAITWA The last
man standing. Yani unatuma
comment kisha anaefuata
anaanza na neno ulilomalizia. Kwa
mfano: mtu akiandika, natamani
kwenda mikumi anayefuata
aanze na mikumi mf. mikumi ni
tour inayofuata alaf inayofuata
kuenjoy maisha inayofuata maisha hayana mwenyewe n.k. OK LET US
PLAY Atakaye kuwa wa mwisho
ndie atakayekuwa mshindi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom