WanaJF, SALAAM!!
Kwanza nianze ku-declare interest kuwa mimi ni muislam, nisiye na mpenzi na chama chochote cha siasa. Ni mpenzi wa yeyote yule anaeitakia mema Tanzania na Watanzania.
Nianze kutoa hoja yangu kama ifuatavyo:
Nimekuwa nikifuatilia sana ideas mbalimbali katika mtandao huu na kusema kweli mengi nimejifunza. Katika hayo mengi niliyojifunza, miongoni mwao ni kuwa wana jukwaa wengi wamekuwa wakali sana pale member yeyote anapojitokeza au kuonekana kuwa ana mapenzi na CCM, CUF au ni MUISLAM.Naomba kujulishwa: Je WAISLAM ni wanachma waalikwa katika mtandao huu?
Mfano, katika JUKWAA LA HOJA MCHANGANYIKO, kuna thread pale inayosomeka WAISLAM KUANDAA RASIMU YA KATIBA. Baada ya kuisoma thread hiyo members karibu wote wameishambulia kama mpira wa kona.
Inawezekana kuwa nia ya jukwaa ni nzuri kabisa ila kuna watu(members) wasio na akili wameibaka nia hiyo njema na kui-corrupt.
Waislamu wana haki sawa kabisa ya kutoa mawazo yao kama walivyo wakristo na wasioabudu katika dini zetu hizi ambazo sisi tunaziona kuwa ni official. JAMII FORUM NI YA KWETU SOTE NA TANZANIA NI YETU SOTE. CHADEMA IPO NA ITAPITA LAKINI TANZANIA ITAENDELEA KUWEPO DAIMA DUMU MPAKA KIAMA
Kwanza nianze ku-declare interest kuwa mimi ni muislam, nisiye na mpenzi na chama chochote cha siasa. Ni mpenzi wa yeyote yule anaeitakia mema Tanzania na Watanzania.
Nianze kutoa hoja yangu kama ifuatavyo:
Nimekuwa nikifuatilia sana ideas mbalimbali katika mtandao huu na kusema kweli mengi nimejifunza. Katika hayo mengi niliyojifunza, miongoni mwao ni kuwa wana jukwaa wengi wamekuwa wakali sana pale member yeyote anapojitokeza au kuonekana kuwa ana mapenzi na CCM, CUF au ni MUISLAM.Naomba kujulishwa: Je WAISLAM ni wanachma waalikwa katika mtandao huu?
Mfano, katika JUKWAA LA HOJA MCHANGANYIKO, kuna thread pale inayosomeka WAISLAM KUANDAA RASIMU YA KATIBA. Baada ya kuisoma thread hiyo members karibu wote wameishambulia kama mpira wa kona.
Inawezekana kuwa nia ya jukwaa ni nzuri kabisa ila kuna watu(members) wasio na akili wameibaka nia hiyo njema na kui-corrupt.
Waislamu wana haki sawa kabisa ya kutoa mawazo yao kama walivyo wakristo na wasioabudu katika dini zetu hizi ambazo sisi tunaziona kuwa ni official. JAMII FORUM NI YA KWETU SOTE NA TANZANIA NI YETU SOTE. CHADEMA IPO NA ITAPITA LAKINI TANZANIA ITAENDELEA KUWEPO DAIMA DUMU MPAKA KIAMA