NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Title yahusika saana.
Nakumbuka utamaduni wa kukutana wana JF uliasisiwa DSM na jembe Geof au Teamo, week end ilikuwa ikifika MMU karibu wote walikuwa wanakutana na kutafuna mbavu za vitoweo tofauti!tofauti pamoja na ze valuer. Valuer ilipanda chat sana hapa jamvini ikisindikizwa na msamiati wa infidelity. Enzi hizo baana thread ilikuwa ikiangukiwa na hio team within 5 minutes iko page ya 10.
Nini kimetokea siku hizi au mwakutana under carpet wengine hatujui? Hongereni Arusha na Dodoma kwa ku keep it real....
By the way wapi Teamo tangu umehama nchi kutokana na matatizo ya umeme JF dsm is not the same again.
Nakumbuka utamaduni wa kukutana wana JF uliasisiwa DSM na jembe Geof au Teamo, week end ilikuwa ikifika MMU karibu wote walikuwa wanakutana na kutafuna mbavu za vitoweo tofauti!tofauti pamoja na ze valuer. Valuer ilipanda chat sana hapa jamvini ikisindikizwa na msamiati wa infidelity. Enzi hizo baana thread ilikuwa ikiangukiwa na hio team within 5 minutes iko page ya 10.
Nini kimetokea siku hizi au mwakutana under carpet wengine hatujui? Hongereni Arusha na Dodoma kwa ku keep it real....
By the way wapi Teamo tangu umehama nchi kutokana na matatizo ya umeme JF dsm is not the same again.