Daudi Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 327
- 203
Jeshi la polisi Mkoani Arusha inawasaka watuhumiwa wawili wa mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya usa river.
Watuhumiwa hao wawili walitoroka mahakama kuu kanda ya Arusha wakiwa chini ya ulinzi wa jeshi la polisi.
Akizungumza na waandishi wa habari, kamanda wa polisi mkoa wa Arusha ameeleza kuwa watuhumiwa hao walimsukuma askari, alipoanguka wakamnyang'anya silaha na kukimbia nayo.
Stay tuned! .............................. There is so much more to come!
Watuhumiwa hao wawili walitoroka mahakama kuu kanda ya Arusha wakiwa chini ya ulinzi wa jeshi la polisi.
Akizungumza na waandishi wa habari, kamanda wa polisi mkoa wa Arusha ameeleza kuwa watuhumiwa hao walimsukuma askari, alipoanguka wakamnyang'anya silaha na kukimbia nayo.
Stay tuned! .............................. There is so much more to come!