sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Nyie kuleni kunyweni akili kichwani
Cheo keshapewa ni mjumbe wa CC. Yaani ukitumia mdomo wako kutukana CDM na Dr Slaa ujue lazima utapewa cheo.Huyu anacho taka ni kujibiwa na viongozi wa cdm hana tofauti na Mwigulu Nchemba! Naona anatafuta cheo kwenye cc yao ili aonekana ana pambana na cdm! Hana lolote ni mwepesi tu!
Huyu bwana mdogo najifanya najua sana kumbe hata maziwa hayajakauka mdomoni. Dr (wa kweli) Slaa ni mashine kubwa hata hafikii asilimia 5 yake. Aendelee na ndoto za alinacha za kifo cha CHADEMA. Hiki chama wa ukombozi hakifi kitakapowaingiza gezezani magamba kwa makosa yao. Huyu amelewa vyeo hivyo anafyatuka tu kila kukicha. Kwanza Munispaa yake bado chafu na sanamu zake za mabati ni ufisadi mwingine piua. Hili atajibiwa vizuri tu na CDM. Huyu ni mwepesi hatakiwi hata kuzungumzwa katika JF.
Utanashati aimaanishi kuwa ni shoga,mbona kuna mijamaa kibao ina uso mbuzi lakini ni tende harua harua.
Meya wa Ilala, Jerry Silaa ameendeleza siasa zake za majitaka leo Majumba Sita (ukonga) ambako alikutana na vijana pale njia panda ya Segerea na kuwaambia CCM itawaletea mabadiliko makubwa 2015 kama wataichagua tena.
Amesema Dr. Slaa amechoka akapumzike na hela za Marurupuru ya chama 154millioni alizopora.
Amezidi kubwabwaja kwamba CHADEMA ni chama kinachokufa kisichokuwa na wafuasi kama inavyodai isipokuwa wavuta bangi na wanywa viroba. 2014 Tutakuwa tumesha isambaratisha........vijana makini ni wale wanaiunga mkono CCM.
Jerry hatimaye alitualika kwena naye Hilltech Bar ambako vinywaji vilikuwa ni vya kumwaga.
Source: Mimi Mwenyewe eneo la tukio
Meya wa Ilala, Jerry Silaa ameendeleza siasa zake za majitaka leo Majumba Sita (ukonga) ambako alikutana na vijana pale njia panda ya Segerea na kuwaambia CCM itawaletea mabadiliko makubwa 2015 kama wataichagua tena.
Amesema Dr. Slaa amechoka akapumzike na hela za Marurupuru ya chama 154millioni alizopora.
Amezidi kubwabwaja kwamba CHADEMA ni chama kinachokufa kisichokuwa na wafuasi kama inavyodai isipokuwa wavuta bangi na wanywa viroba. 2014 Tutakuwa tumesha isambaratisha........vijana makini ni wale wanaiunga mkono CCM.
Jerry hatimaye alitualika kwena naye Hilltech Bar ambako vinywaji vilikuwa ni vya kumwaga.
Source: Mimi Mwenyewe eneo la tukio