Jerry Muro: Kinachotesa taifa halipigi hatua kubwa za Maendelea ni fitina na chuki

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,063
49,749
Screen-Shot-2018-07-29-at-09.45.36-660x400.png

"Leo nataka nikupe mfano mdogo miaka kadhaa nyuma sisi Tanzania tulikuwa sawa na Singapore au Malaysia, na hapa tulipo tuna kila kitu lakini unajua kinachotuumiza ni nini?. Mfano hili suala la bandari linakuwa gumu kueleweka ni kwa sababu tumeingiza akili na mawazo yenye fitna na chuki ndani yake"

"Lakini kinachopiganiwa na Rais Samia ni vyanzo vipya vya kodi, maeneo mapya ya kupata fedha ili tusiendelee kuwekewa tozo kwenye maeneo mengine.”

Amesema Jerry Muro, aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya wakati akizungumza kwenye Kipindi cha BUSATI cha TBC FM.

===

Naunga mkono hoja ya Jerry, Rais anapigania pesa nyingi na Ustawi zaidi ila kuna majitu yenye midomo midomo yasiyo na mchango wala tija yeyote Kwa Nchi yanapotosha Watu.
 
Hivi ni mikitaba gani ambayo serikali iliisaini na haikua na tija kwa Taifa? Na kwanini kuna mikataba tuliivunja? Na kwanini tunalipiahwa? huu wa DP unatofauti gani kiasi hata baadae hatutauona Mbaya..?

Na ni kwanini Mnakuwa na Roho mbaya hivi.?
 
Jerry Muro njaa imepada kichwani, tangu atumbuliwe uDC kule Ikungi mpk leo anacheza bao mitaai
 
Hizo Fitina na Chuki zilikuwepo wakati watu wanasaini Mikataba ya Gesi na Madini na mingine kebe kebe ambayo sasa hivi tunalipia mpaka kesho ?

Unless anamaanisha mfitini na mwenye chuki na Taifa lao ni hao wapuuzi wanaoingia Mikataba isiyo na maslahi na ndugu zao....
 

"Leo nataka nikupe mfano mdogo miaka kadhaa nyuma sisi Tanzania tulikuwa sawa na Singapore au Malaysia, na hapa tulipo tuna kila kitu lakini unajua kinachotuumiza ni nini?. Mfano hili suala la bandari linakuwa gumu kueleweka ni kwa sababu tumeingiza akili na mawazo yenye fitna na chuki ndani yake"

"Lakini kinachopiganiwa na Rais Samia ni vyanzo vipya vya kodi, maeneo mapya ya kupata fedha ili tusiendelee kuwekewa tozo kwenye maeneo mengine.”

Amesema Jerry Muro, aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya wakati akizungumza kwenye Kipindi cha BUSATI cha TBC FM.

===

Naunga mkono hoja ya Jerry, Rais anapigania pesa nyingi na Ustawi zaidi ila kuna majitu yenye midomo midomo yasiyo na mchango wala tija yeyote Kwa Nchi yanapotosha Watu.
MBONA ULIPOKUWA MKUU WA WILAYA HUKUSEMA?
 

"Leo nataka nikupe mfano mdogo miaka kadhaa nyuma sisi Tanzania tulikuwa sawa na Singapore au Malaysia, na hapa tulipo tuna kila kitu lakini unajua kinachotuumiza ni nini?. Mfano hili suala la bandari linakuwa gumu kueleweka ni kwa sababu tumeingiza akili na mawazo yenye fitna na chuki ndani yake"

"Lakini kinachopiganiwa na Rais Samia ni vyanzo vipya vya kodi, maeneo mapya ya kupata fedha ili tusiendelee kuwekewa tozo kwenye maeneo mengine.”

Amesema Jerry Muro, aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya wakati akizungumza kwenye Kipindi cha BUSATI cha TBC FM.

===

Naunga mkono hoja ya Jerry, Rais anapigania pesa nyingi na Ustawi zaidi ila kuna majitu yenye midomo midomo yasiyo na mchango wala tija yeyote Kwa Nchi yanapotosha Watu.
Hata bwawa la JKNHP ni vyanzo vipya vya mapato, na ilikuwa lilikikamilka umeme utashuka! Upo we mpigania tumbo?

Leo umewasikia hao wajinga wenzako?

Uzwa wewe bandari zetu ni urithi wa watoto na vitukuu vyetu!
 
Back
Top Bottom