Jengo la TTCL Makao makuu Dar lawaka moto, wadhibitiwa

Isango

R I P
Jul 23, 2008
295
450
Jengo la TTCL Makao Makuu linaungua Moto, umewaka ghorofa ya sita, na linaendelea kuungua.

Gari ya Zima moto ilitupita njiani kwa kasi lakini wamefika na sisi tuliokuwa kwenye daladala tumeshafika, Zimamoto hao wamekaa pembeni hawajaanza kuzima moto, sijaelewa wanasubiri amri gani waanze maana jengo linazidi kuwaka, tunafanya utaratibu wa kuweka picha.

--------------------
napita karibu na jengo la ttcl xtelecoms kuna moto umetokea ghorofa ya 6 inasemekana ni idara ya HR fire ndo wamekuja ila hawana msaada wowote mana magari yao ngazi hazifiki gorofani moshi mkubwa unafuka bado

NI EXTELECOMS, nimefanikiwa kufika kuna ubishani mkubwa kati ya wafanyakazi wa TTCL na wale waliokuja kuzima, kulikuwa na kasoro za kikosi cha zimamoto kushindwa kuwa na maji yenye presseure yaweze kupanda, hivyo jengo bado linaungua vyumba vitatu kwa kasi, kampuni binafsi ya Ultimate Security ndo wanaingia na gari yao

attachment.php


attachment.php
 
Fafanua kidogo, ni Extelecoms au Posta House? hayo majengo ndio yanatunza server za ISP wengi hapa mjini.
 
napita karibu na jengo la ttcl xtelecoms kuna moto umetokea ghorofa ya 6 inasemekana ni idara ya HR fire ndo wamekuja ila hawana msaada wowote mana magari yao ngazi hazifiki gorofani mosji mkubwa unafuka bado
 
Hauwezi kutuwekea picha tukaona hali ilivyo maana sisi wengine tupo na mji

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
moto umekolea balaa unafuka juu fire bado wanashangaa shangaa hapa bila msaada
 
Hivi kwanini responses za emergency department zipo sloo hivi? Iwe zima moto au iwe kuokoa watu ferry kila siku wanachelewa, kila siku tunalalamika na bado hawarekebishi. Kila janga linatakiwa kua somo la kusaidia janga linalo fuata.
 
Hivi kwanini responses za emergency department zipo sloo hivi? Iwe zima moto au iwe kuokoa watu ferry kila siku wanachelewa, kila siku tunalalamika na bado hawarekebishi. Kila janga linatakiwa kua somo la kusaidia janga linalo fuata.
Mkuu omba ajira kitengo husika ukasaidie.
 
Hivi kwanini responses za emergency department zipo sloo hivi? Iwe zima moto au iwe kuokoa watu ferry kila siku wanachelewa, kila siku tunalalamika na bado hawarekebishi. Kila janga linatakiwa kua somo la kusaidia janga linalo fuata.

'watu wana mambo yao bidada waache wafanye yao...'
 
Fafanua kidogo, ni Extelecoms au Posta House? hayo majengo ndio yanatunza server za ISP wengi hapa mjini.
NI EXTELECOMS, nimefanikiwa kufika kuna ubishani mkubwa kati ya wafanyakazi wa TTCL na wale waliokuja kuzima, kulikuwa na kasoro za kikosi cha zimamoto kushindwa kuwa na maji yenye presseure yaweze kupanda, hivyo jengo bado linaungua vyumba vitatu kwa kasi, kampuni binafsi ya Ultimate Security ndo wanaingia na gari yao
 
wamefanikiwa kuuzibiti moto sasa hali ni shwari inasemekana umeanzia kwene AC huo moto
 
Jengo la EXTELECOMS HALI ILIVYOKUWA LEO ASUBUHI.
 

Attachments

  • IMG_7224.JPG
    IMG_7224.JPG
    403 KB · Views: 1,071
  • IMG_7241.JPG
    IMG_7241.JPG
    492.9 KB · Views: 165
  • IMG_7288.JPG
    IMG_7288.JPG
    406 KB · Views: 1,021
  • IMG_7298.JPG
    IMG_7298.JPG
    489 KB · Views: 146
asante kwa picha
ila hii sio siasa
jukwa la habari na hoja mchanganyiko ndio kwake
 
Back
Top Bottom