Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Girland

JF-Expert Member
Jan 24, 2016
1,826
2,843
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?

Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.

Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.

16969457263488377538490688072062.jpg
 
Back
Top Bottom