ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Mleta mada unatafsiri sivyo, hivi nakuuliza ukiwa team moja na Messi, kweli utaacha kumpasia mpira afanye vitu vyake?
Buck Passer sio maana yake kupasia mpira, buck passer ni kumrushia mtu mwingine lawama, nauliza hivi, kwako na kwa Ulimwengu, tena huyu Ulimwengu naona uzee unamjia vibaya na ule mshiko kutoka kwa Rostam unampelekesha, kama Rais na katiba inakulinda na lawama zote, kwanini usiwe na wabeba lawama? Ikiwa una wabeba risasi (body guards) ambao wako tayari kupokea risasi kwa ajili yako, itakuwa wapokea lawama?
Halafu lawama ipi ambayo Rais kaibebesha kwa mwingine? ule U Rais wenyewe pekee ni lawama tupu. Nioneshe Rais mmoja duniani asiyekuwa na lawama.
Mengine ni pumba tu.
Natamni wehu wa ukubwani ungekuwa unaonekana hadharani!