itakuwa ana kadi ya chama tu. Unaona hawa wanakamatwa kitu cha kwanza kuuliza ni uhusiano wao na Mbowe. Sasa kama wameshakuwa Raia wa kawaida uhusiano wao na Mbowe unashida gani?Hao jamaa sio ugonjwa tu umewaondoa huko,walikua na misala kibao,jeshi lina namna ya kudili na watu wagonjwa ambao hawako fit kuendelea na jeshi.mfano ba mdogo wangu mimi alikua mwanajeshi na bahati nzuri alikua huko kwenye mission congo,alivyorudi akapata ugonjwa flani uliomlazimu kuacha kazi,jwtz wamemtibu na mpaka leo anaendelea kutibiwa free pale lugalo ingawa sio mwanajeshi tena.