Naomba kuuliza, je waziri mkuu hajaitisha kikao na wabunge wa CCM ili kuwashawishi wasipige kura ya kutokuwa na imani dhidi yake? Tumezoea kipindi cha bajeti huwa anawashawishi, hasa pale bajeti inapoelekea kukataliwa, waipitishe; hatimaye halmashauri zinzkosa fedha, deni linaongezeka n.k