Marumeso JF-Expert Member Oct 3, 2009 1,410 1,313 May 21, 2012 #1 Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale TCC Chang'ombe. Wana matatizo gani au ni kwa sababu marehemu hakuwa msanii mwenzao?
Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale TCC Chang'ombe. Wana matatizo gani au ni kwa sababu marehemu hakuwa msanii mwenzao?
Malunkwi JF-Expert Member Jan 19, 2011 339 79 May 21, 2012 #2 luck said: Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale TCC Chang'ombe. Wana matatizo gani au ni kwa sababu marehemu hakuwa msanii mwenzao? Click to expand... walikua bz na maandalizi ya Arobaini ya Kanumba
luck said: Nilishangaa haya makundi mawili hayakuonekana pale TCC Chang'ombe. Wana matatizo gani au ni kwa sababu marehemu hakuwa msanii mwenzao? Click to expand... walikua bz na maandalizi ya Arobaini ya Kanumba
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 May 21, 2012 #3 Ulifanya rollcall vizuri?!, unawajua wote?!. Yawezekana walikuwepo.
Marumeso JF-Expert Member Oct 3, 2009 1,410 1,313 May 21, 2012 Thread starter #4 Gama said: Ulifanya rollcall vizuri?!, unawajua wote?!. Yawezekana walikuwepo. Click to expand... Mkuu, huna haja ya roll call, mbona wanajulikana tu. Na wanavyopenda kuuza sura lazima ungewaona. Ni kwamba hawakuwepo!
Gama said: Ulifanya rollcall vizuri?!, unawajua wote?!. Yawezekana walikuwepo. Click to expand... Mkuu, huna haja ya roll call, mbona wanajulikana tu. Na wanavyopenda kuuza sura lazima ungewaona. Ni kwamba hawakuwepo!
Mkare_wenu JF-Expert Member Mar 11, 2011 1,714 442 May 21, 2012 #5 kwani wacheza mpira walikuwepo kwny mazishi ya kanumba?