Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,329
- 7,176
Wakuu habari zenu,
Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-
- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?
Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa
maana yake (500x30x12=180,000).
Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?
Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?
Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.
Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.
JPM 2020 - 2025
CCM 5 Tenaa
Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-
- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?
Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa
maana yake (500x30x12=180,000).
Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?
Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?
Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.
Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.
JPM 2020 - 2025
CCM 5 Tenaa