Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 514
- 1,031
Huo ni mfano tu hai kuwa wanawake wanawahi kuingia kwenye mahusiano tofauti na sisi wanaume.
Kijana wa miaka 18 na msichana wa miaka 18 wana experience tofauti kwenye mahusiano. Kwa mwanamke tayari amefikia umri wa kuolewa na kuweza kubeba ujauzito na pia amesha tongozwa mara kibao. Wanawake mara nyingi anapo fikia hatua na kuvunja ungo tu basi. Kama asipo pata muongozo mzuri ana anza kuwa uroda mapemaa. Hadi kufikia miaka 18 na kuendelea suala la mahusiano kwake kesha pitia watu kadhaa. Kama vile chuo tu Professor anakwambia hawa mademu sio level yenu nyie subiri wa form 6 huko. Levels differ.
Kwa mwanaume stori ni tofauti kidogo. Yeye ndo kwanza ana anza kuwajua wanawake wakoje na anakuwa hana uzoefu kabisa na wanawake zaidi ya kuzoeana tu na vi binti wa rika lake au wadogo zake. Hata hivo akisema atongoze, anyandue ni changamoto ndio maana wanaume wengi kula zigo tuna jifunzia kwa dada wa kazi. Hii ni kwa sababu wengine wanatutaka sisi au tunawataka wao na pia hawana mambo mengi. Sijui kuhonga, mara kupelekana wapi inakuwa show inafanyika ndani kwa ndani. Kiuhalisia wewe unaenda kununua malaya yeye anatafutwa na mtu mwenye pesa zake na ana mgharamia na ana wapanga kama madumu ya maji.
Ndio maana watoto wa siku hizi wa miaka ya 2000 kumtongoza ni pesa yako tu. Hakuna asichokijua kwenye mahusiano ukija kurelate kijana wa kiume wa miaka 20 anaweza kuwa amedate na wasichana labda 4 ni lakini kwa mwanamke inaweza kuwa idadi ya waume alio tembea nao ni mara mbili ya mwanaume au zaidi. Na bado anaendelea
Hali hii inasikitisha pindi ambapo binti huyu atapo amua kutulia na kutaka kuolewa mumewe ata faidi nae vipi kama uzuri wote aliupoteza kwa wanaume wengine. Tukipata nafasi ya kuzungunza na wadogo zetu wa kike tusisite kuwa hasa madhara ya kuendeleza umalaya. Hata wadogo zetu wa kiume pia tuwaelimishe kuhusu hili ili wawe makini na wajichunge.
Kijana wa miaka 18 na msichana wa miaka 18 wana experience tofauti kwenye mahusiano. Kwa mwanamke tayari amefikia umri wa kuolewa na kuweza kubeba ujauzito na pia amesha tongozwa mara kibao. Wanawake mara nyingi anapo fikia hatua na kuvunja ungo tu basi. Kama asipo pata muongozo mzuri ana anza kuwa uroda mapemaa. Hadi kufikia miaka 18 na kuendelea suala la mahusiano kwake kesha pitia watu kadhaa. Kama vile chuo tu Professor anakwambia hawa mademu sio level yenu nyie subiri wa form 6 huko. Levels differ.
Kwa mwanaume stori ni tofauti kidogo. Yeye ndo kwanza ana anza kuwajua wanawake wakoje na anakuwa hana uzoefu kabisa na wanawake zaidi ya kuzoeana tu na vi binti wa rika lake au wadogo zake. Hata hivo akisema atongoze, anyandue ni changamoto ndio maana wanaume wengi kula zigo tuna jifunzia kwa dada wa kazi. Hii ni kwa sababu wengine wanatutaka sisi au tunawataka wao na pia hawana mambo mengi. Sijui kuhonga, mara kupelekana wapi inakuwa show inafanyika ndani kwa ndani. Kiuhalisia wewe unaenda kununua malaya yeye anatafutwa na mtu mwenye pesa zake na ana mgharamia na ana wapanga kama madumu ya maji.
Ndio maana watoto wa siku hizi wa miaka ya 2000 kumtongoza ni pesa yako tu. Hakuna asichokijua kwenye mahusiano ukija kurelate kijana wa kiume wa miaka 20 anaweza kuwa amedate na wasichana labda 4 ni lakini kwa mwanamke inaweza kuwa idadi ya waume alio tembea nao ni mara mbili ya mwanaume au zaidi. Na bado anaendelea
Hali hii inasikitisha pindi ambapo binti huyu atapo amua kutulia na kutaka kuolewa mumewe ata faidi nae vipi kama uzuri wote aliupoteza kwa wanaume wengine. Tukipata nafasi ya kuzungunza na wadogo zetu wa kike tusisite kuwa hasa madhara ya kuendeleza umalaya. Hata wadogo zetu wa kiume pia tuwaelimishe kuhusu hili ili wawe makini na wajichunge.