Je wajua? 60% ya High-Speed train duniani zipo China

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,696
59,856
BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE.
Ninaendelea kutoa taarifa za kiuchunguzi za kina kuhusu dunia yetu hii. Kwa muda wa wiki mbili nilikuwa katika utafiti kuhusu High-Speed Train.
1696058499687.png

High-Speed Train ni nini?
Hii ni train inayokimbia kwa mwendo wa kuanzia 200 km/h (124 mph). Train ikiwa na mwendo huu au zaidi ndio inaingia katika kundi la High-Speed train.
Unaweza ukapitia hapa ili uweze kujua zaidi
Nimefanya utafiti wangu wa kina na kuja kugundua kuwa China ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na Rail ndefu inayopitisha high-speed train.
Mwaka huu China wamekamilisha ujenzi mwingine wa High-Speed Train railway na kufikisha urefu wa 42,000km. Huku ujenzi wa 28,000km unaendelea.
Unaweza ukasoma Taarifa zaidi hapa:-
1696056557090.png

STATISTICAL INFORMATION
Kwa mujibu wa takwimu sahihi kabisa kwa sasa dunia yote ipo na High-Speed train zenye urefu wa 70,145km Hizi hapa chini ni nchi 10 zenye high-speed train ndefu duniani.

No.
CountryIn Operational(km)Under construction(km)
Total
1​
China
42,000.00​
28,000.00​
70,000.00​
2​
Spain
4,327.10​
1,378.00​
5,705.10​
3​
France
3,978.00​
560.10​
4,538.10​
4​
Germany
3,516.00​
3,261.98​
6,777.98​
5​
Japan
2,727.00​
591.10​
3,318.10​
6​
Italy
2,017.70​
965.24​
2,982.94​
7​
United Kingdom
1,927.70​
113.000​
2,040.70​
8​
South Korea
1,283.40​
660.90​
1,944.30​
9​
Turkey
1,117.00​
102.00​
1,219.00​
10​
Finland
1,100.00​
1,120.00​
2,220.00​
Unaweza ukapata taarifa zaidi hapa
KUHUSU USA
Mpaka sasa 2023 Marekani ipo na 735km za High-Speed Train. Wapo na mpango wa kujenga 1,789.3 km.
Kama ilivyo kawaida nitaendelea kutoa taarifa nyingi zaidi na majina ya Railway na urefu wake.

Karibuni tujadili kwa kina huku tukiweka references na evidences


KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
AMEN
 
Beijing–Guangzhou high-speed railway
Notable HSR lines in China include the Beijing–Guangzhou high-speed railway which at 2,298 km (1,428 mi) is the world's longest HSR line in operation, and the Beijing–Shanghai high-speed railway with the world's fastest operating conventional train services.

1696058528988.png
 

Hangzhou–Fuzhou–Shenzhen railway - 350–250 km/h - 1,495 km​

The Hangzhou–Fuzhou–Shenzhen railway is the dual-track, electrified, high-speed rail lines in service along the southeastern coast of China, linking the Yangtze River Delta on the East China Sea and Pearl River Delta on the South China Sea.
1696059153958.png
 

Beijing–Harbin high-speed railway - 350 km/h - 1,700 km​

The Beijing–Harbin high-speed railway is an operational high-speed railway corridor, announced in 2008 as part of the "Four Verticals and Four Horizontals" master railway network plan.
View attachment 2767102
ukiona hivi unaweza hisi nimiujiza kumbe nijuhudi tuu imefanyika nawatu wanaishi vyema.
 

Shanghai–Wuhan–Chengdu passenger-dedicated railway - 350–200 km/h - 2,078 km​

Shanghai–Wuhan–Chengdu passenger-dedicated railway, is a fully completed higher-speed railway corridor in China. It is operated by CR Shanghai Group, CR Wuhan Group and CR Chengdu Group.
1696061065200.png
 

Shanghai–Kunming high-speed railway - 350 km/h - 2,066 km​

The Shanghai–Kunming high-speed railway is a high-speed railway line. It was built in stages and completed on 28 December 2016. It is part of the CRH's system of passenger-dedicated lines, beginning in Shanghai and ending in Kunming, the capital of Yunnan Province.

1696063269245.png
 
BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE.
Ninaendelea kutoa taarifa za kiuchunguzi za kina kuhusu dunia yetu hii. Kwa muda wa wiki mbili nilikuwa katika utafiti kuhusu High-Speed Train.
View attachment 2767089
High-Speed Train ni nini?
Hii ni train inayokimbia kwa mwendo wa kuanzia 200 km/h (124 mph). Train ikiwa na mwendo huu au zaidi ndio inaingia katika kundi la High-Speed train.
Unaweza ukapitia hapa ili uweze kujua zaidi
Nimefanya utafiti wangu wa kina na kuja kugundua kuwa China ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na Rail ndefu inayopitisha high-speed train.
Mwaka huu China wamekamilisha ujenzi mwingine wa High-Speed Train railway na kufikisha urefu wa 42,000km. Huku ujenzi wa 28,000km unaendelea.
Unaweza ukasoma Taarifa zaidi hapa:-
View attachment 2767014
STATISTICAL INFORMATION
Kwa mujibu wa takwimu sahihi kabisa kwa sasa dunia yote ipo na High-Speed train zenye urefu wa 70,145km Hizi hapa chini ni nchi 10 zenye high-speed train ndefu duniani.

No.
CountryIn Operational(km)Under construction(km)
Total
1​
China
42,000.00​
28,000.00​
70,000.00​
2​
Spain
4,327.10​
1,378.00​
5,705.10​
3​
France
3,978.00​
560.10​
4,538.10​
4​
Germany
3,516.00​
3,261.98​
6,777.98​
5​
Japan
2,727.00​
591.10​
3,318.10​
6​
Italy
2,017.70​
965.24​
2,982.94​
7​
United Kingdom
1,927.70​
113.000​
2,040.70​
8​
South Korea
1,283.40​
660.90​
1,944.30​
9​
Turkey
1,117.00​
102.00​
1,219.00​
10​
Finland
1,100.00​
1,120.00​
2,220.00​
Unaweza ukapata taarifa zaidi hapa
KUHUSU USA
Mpaka sasa 2023 Marekani ipo na 735km za High-Speed Train. Wapo na mpango wa kujenga 1,789.3 km.
Kama ilivyo kawaida nitaendelea kutoa taarifa nyingi zaidi na majina ya Railway na urefu wake.

Karibuni tujadili kwa kina huku tukiweka references na evidences


KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
AMEN
Kwa nin standard geji yetu hujaiweka???
 
Nchi ya madagascar huwa wanajifariji kwamba uchumi wao na china ulikuwa the same tokea miaka ya 60. Sasa sijajua inakuwaje wanashindwa kuwa kama china
 
China wana kauli Yao
"Kila eneo au sehemu kusikofikika kunatakiwa kufikika"
Hii kauli ukiwaeleza ccm watakwambia subiri Kila baada ya uchaguzi Ili kujinadi
hao jamaa kwa kujenga nchi yao hawajambo, yaani kila kukicha wao ni kujenga tu, barabara, railways, madaraja, majengo etc, nadhani hata daraja ndefu duniani lipo china, hata treni yenye kasi zaidi duniani ipo china nadhani, hawa viumbe ni hatari sana.
 
China ni tishio kwa sasa.
BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE.
Ninaendelea kutoa taarifa za kiuchunguzi za kina kuhusu dunia yetu hii. Kwa muda wa wiki mbili nilikuwa katika utafiti kuhusu High-Speed Train.
View attachment 2767089
High-Speed Train ni nini?
Hii ni train inayokimbia kwa mwendo wa kuanzia 200 km/h (124 mph). Train ikiwa na mwendo huu au zaidi ndio inaingia katika kundi la High-Speed train.
Unaweza ukapitia hapa ili uweze kujua zaidi
Nimefanya utafiti wangu wa kina na kuja kugundua kuwa China ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na Rail ndefu inayopitisha high-speed train.
Mwaka huu China wamekamilisha ujenzi mwingine wa High-Speed Train railway na kufikisha urefu wa 42,000km. Huku ujenzi wa 28,000km unaendelea.
Unaweza ukasoma Taarifa zaidi hapa:-
View attachment 2767014
STATISTICAL INFORMATION
Kwa mujibu wa takwimu sahihi kabisa kwa sasa dunia yote ipo na High-Speed train zenye urefu wa 70,145km Hizi hapa chini ni nchi 10 zenye high-speed train ndefu duniani.

No.
CountryIn Operational(km)Under construction(km)
Total
1​
China
42,000.00​
28,000.00​
70,000.00​
2​
Spain
4,327.10​
1,378.00​
5,705.10​
3​
France
3,978.00​
560.10​
4,538.10​
4​
Germany
3,516.00​
3,261.98​
6,777.98​
5​
Japan
2,727.00​
591.10​
3,318.10​
6​
Italy
2,017.70​
965.24​
2,982.94​
7​
United Kingdom
1,927.70​
113.000​
2,040.70​
8​
South Korea
1,283.40​
660.90​
1,944.30​
9​
Turkey
1,117.00​
102.00​
1,219.00​
10​
Finland
1,100.00​
1,120.00​
2,220.00​
Unaweza ukapata taarifa zaidi hapa
KUHUSU USA
Mpaka sasa 2023 Marekani ipo na 735km za High-Speed Train. Wapo na mpango wa kujenga 1,789.3 km.
Kama ilivyo kawaida nitaendelea kutoa taarifa nyingi zaidi na majina ya Railway na urefu wake.

Karibuni tujadili kwa kina huku tukiweka references na evidences


KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
AMEN
Wamepiga hatua kubwa sana kwenye kila sekta, haswa katika miundombinu.
 
Back
Top Bottom