Ukweli ni kwamba kila mahali ukienda kwenye mashamba karibu Tanzania nzima utakuta migogoro ya wafugaji na wakulima. Wafugaji wengi ni wamassai na wamang'ati na wamekuwa kero kila mahali. Leo hii kuna mmang'ati kapika kambi na ngombe kwenye shamba langu Kidomole, Pwani bila kuomba au kuwa na sehemu ya kwenda.
Sijawahi kuona kabila linadekezwa kama vile wenyewe ni watoto sheria haziwahusu na wanataka wawe wanaweza kwenda sehemu yeyote na kufanya lolote bila sheria
1. Wanavamia maeneo ya wakulima bila utaratibu na kuharibu mazingira.
2. Wameharibu makazi yao ya monduli na kumebaki kama jangwa.
3. Hawataki ushauri au sheria yeyote.
4. Hawalipi kodi wanapeleka ngombe minadani wengine mpaka kenya bila kulipa kodi.
5. Wanaharibu mbuga zetu.
6. Hawapeleki watoto shule wanabaki kufuga ngombe na hii inasababisha wasijue kusoma na kuandika.
7. Sheria za kuozwa utotoni kwao haziwahusu!
Sasa hii jamii inatuletea mchango gani kama taifa na kwa vizazi vijavyo?
Sijawahi kuona kabila linadekezwa kama vile wenyewe ni watoto sheria haziwahusu na wanataka wawe wanaweza kwenda sehemu yeyote na kufanya lolote bila sheria
1. Wanavamia maeneo ya wakulima bila utaratibu na kuharibu mazingira.
2. Wameharibu makazi yao ya monduli na kumebaki kama jangwa.
3. Hawataki ushauri au sheria yeyote.
4. Hawalipi kodi wanapeleka ngombe minadani wengine mpaka kenya bila kulipa kodi.
5. Wanaharibu mbuga zetu.
6. Hawapeleki watoto shule wanabaki kufuga ngombe na hii inasababisha wasijue kusoma na kuandika.
7. Sheria za kuozwa utotoni kwao haziwahusu!
Sasa hii jamii inatuletea mchango gani kama taifa na kwa vizazi vijavyo?