johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Asante Mkuu.Shida yako inafanana na ya mjumbe hapo juu antimatter
Nilimjibu hivi, "Tatizo linaweza kuwa wadudu kama Amphids au upungufu wa Micro nutrients (Zinc, Boron, na Manganese), zaidi ya yote inaweza kuwa ni water stress (Upungufu wa maji kama ni kiangazi sehemu za huko)-hii ya water stress kwako si ishu.
Hivyo hayo mawili ya wadudu na lishe yanabaki valid, na unatumia samadi ya kuku ambayo ina Phosphorus na Nitrogen kwa wingi, lakini inaupungufu mkubwa sana wa Potassium ambayo haina uwezo wa kushikilia maua na matunda, tafuta booster pia zitasolve tatizo, na chini weka mbolea kama Yar Miller Winner au NPK ya 17:17:17, sijui umri wa miti yako lakini gram 100-500 zinatosha kwa mti mmoja.,tifua kidogo mtalo fanya kama sahani, na kisha uweke mbolea na uifukie kwa udongo
Lakini miti yangu ina umri wa miezi manane na mingine ina mwaka na nusu.
Ufafanuzi mkuu, kuhusu kipimo cha mbolea, ulichotaja sio kikubwa?