Nafikiri tukutane kilingeni mahali weka hoja zako tupimane...Vipi uwezo wako wa kufikiria?
Achaga umbaga jomba....Chuga hata bhange zinachangia mkuu
Baba yako na yeye huwa mnamuita mrembo hapo kijijini kwenu?Kweli mrembo.umetema madini ubarikiwe
Jifunze kuwa na nidhamu.hapana mrembo.babayangu namuita (mzee)
Acha utoto na mzaoea ya kijinga.sawa mrembo
Watu wameanza kutukana hahahaaamrembo mbona kama unagubu namimi?
Makonda? Yule chawa wa mama ama??Matusi ni vihisishi.
Sasa watu wasioweza kudhibiti hasira lazima watatumia sana matusi. Wanatukanwa na wao wanajifunza.
Pia matusi yanaweza tumika kama rejesta na makundi ya watu mfano walevi, wavuta bangi, makonda nk....
Ni mihemko tu na kushindwa kuzuia hisia zao.Hutukana ili hasira zao zipungu