una smile tr 14 mimi huwa naanza kusmile tr30 asubuhi hahahah ok all the best my dear
Wengine tuna ,mioyo ya chuma sijui utafanya nn tuumie hivyo
watu wasioweza kukubaliana na matokeo ndio wanakuwa prey wa mapenzi nakuingia kichwa kichwa ,hainiingii akilini kulia for nothing nakunguta mavumbi nasonga mbele.
swali kwa AshaDii
hivi unamchukuliaje mtu ambaye mlishindwana ideological difference yaani totaly ukaona hay nimateso na upendo ushachuja kabisa labda mmezaa watotoau mtoto wewe mwanamke ulipoona huu ni usumbufu kwangu na huyu mtu sijafunga nae ndo wala hajatoa posa kwetu,ngoja nijibebee wanangu nang,oka ukasrtuggle maidha yakanyooka wakati ule yule mwanaume anakucheka nakukuombea mabaya usifanikiwe .unakuja pata mwenzi anakuoa saaafi mnaishi ila yule jamaa wa kwnza haishiwa matusi na visa japo u a out of his or her life,yaani hii ndio anayoizungumzia Nicas Mtei huyu mtu ni wivu au ni maumivu yakuachwa?
Akunyimae mbaazi anakupunguzia mashuzi........move on
Demu wako wa sasa ni demu wa jamaa flani zamni.Xo usihofu kuhamisha kambi....!!asanteni kwa ushauri -tupo na ushauri wenu unasaidia kutuliwaza nakusonga mbele - Broken hearts
kinachoumiza si kuacha au kuachwa bali ni kumbukumbu ya matukio ya ex wako ndio yanayoumiza.
km umeumizwa njoo nikupoze