kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,563
- 2,628
Hongera dada heri wanawake zetu wangekuwa kama wewe tungepumuaNashukuru sanaa sanaaa kifupi mm ni mpambanaji na sijisifii hilo ndugu yangu pia sipend kua tegemez ni kwel kabisa sio rahs kwa wadada kujisomesha toka o level mm nimejisomesha kwa biashara ndogondogo jmn haikua rahisi ila tambua inawezekana na naumia sana kuona mdada anadanga kisa pesa au anaacha shule kisa hana wa kumlipia ada